Menu ›
Biashara
Wed, 18 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) imeanza kutekeleza agizo la kufunga taa katika uwanja wa ndege wa Arusha.
Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile ameiagiza TAA kuhakikisha inakamilisha mchakato wa kumtafuta Mkandarasu wa kufanya kazi hiyo.
Amesema kuwekwa kwa taa hizo kutachangia kuongezeka kwa idadi ya abiria wanaotumia uwanja huo wa ndege wa Arusha ambao kwa sasa unahudumia abiria takribani 256,000 ndani ya kipindi cha saa 12.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live