Menu ›
Biashara
Sat, 30 Jul 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Serikali ya Tanzania imeanza kutekeleza makato ya tozo katika mfumo wa benki hapa nchini kama ilivyo kwenye miamala ya simu.
Serikali ya Tanzania imeanza kutekeleza makato ya tozo katika mfumo wa benki hapa nchini kama ilivyo kwenye miamala ya simu. Kwa sasa endapo utataka kufanya miamala ya kibenki kwa njia ya mashine za kutolea fedha (ATM) au katika dirisha la benki ndani utakatwa tozo kulingana na kiwango cha fedha unachotoa au kufanya malipo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live