Biashara

Habari

Burudani

Michezo

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Umeme Vijijini kuchochea mabadiliko kiuchumi

Umeme 1 Umeme Vijijini kuchochea mabadiliko kiuchumi

Sat, 30 Jul 2022 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Serikali imesema haisambazi umeme vijijini kwa ajili ya kuwasha taa pekee bali pia kuchochea mabadiliko katika shughuli za kiuchumi.

Waziri wa Nishati, January Makamba ameyasema hayo baada ya kutembelea kiwanda cha KUZA AFRIKA kilichopo wilaya ya Rungwe Mkoa wa Mbeya kinachochakata zao la Parachichi ili kutengeneza mafuta ambacho kimeunganishiwa umeme wa TANESCO.

Asema, uwepo wa kiwanda hicho ni matokeo ya uwekezaji unaofanywa na Serikali katika sekta ya Nishati na kuongezea thamani ya mazao ya Wakulima.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live