Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega, amesema hakuna shughuli za uhakika za ufugaji na uvuvi ikiwa hakuna maji, hivyo kuiomba Wizara ya Maji kuhakikisha kila kweye mradi mkubwa wazingatie uwepo wa huduma za wakulima na wafugaji.
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega, amesema hakuna shughuli za uhakika za ufugaji na uvuvi ikiwa hakuna maji, hivyo kuiomba Wizara ya Maji kuhakikisha kila kweye mradi mkubwa wazingatie uwepo wa huduma za wakulima na wafugaji. Ulega ametoa kauli hiyo leo Machi 22, 2023 mkoani Dodoma kwenye kilele cha wiki ya maji yenye kauli mbiu Uhakika wa Maji kwa Amani na Utulilivu.