Biashara

Habari

Burudani

Michezo

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Tazama matukio katika picha kutoka Bungeni leo – June 6, 2018

8690 PMO 4876 768x529 TZW

Thu, 7 Jun 2018 Chanzo: bongo5.com

Kikao cha 45, mkutano wa 11 wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeendelea Jijini Dodoma, Leo Bunge limeongozwa na Mwenyekiti wa Bunge, Azzan Zungu. Kipindi cha Maswali na Majibu kiliendelea na wabunge walijibiwa na Serikali.



Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira na Vijana, Anthony Mavunde akijibu maswali bungeni jijini Dodoma



Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama akizungumza na Naibu Waziri Ofisi ya Rais, TAMISEMI,Joseph Kakunda , Bungeni jijini Dodoma

 



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Katibu Mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania, Deus Seif kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma

 



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na wabunge wa Viti Maalum, Munde Tambwe (kushoto ) na Lucy Mayenga kwenye viwanja vya Bunge jijjini Dodoma



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Mbunge wa Viti Maalum, Halima Bulembo kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Katibu Mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania, Deus Seif Ofisini kwa Waziri Mkuu Bungeni

Loading...
Chanzo: bongo5.com