Menu ›
Biashara
Thu, 15 Aug 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mamlaka ya Forodha ya China, Yu Jianhua aliyemtembelea ofisini kwake Jijini Dar es Salaam.
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mamlaka ya Forodha ya China, Yu Jianhua aliyemtembelea ofisini kwake Jijini Dar es Salaam. Mazungumzo hayo yamefanyika kwa pamoja na utiaji saini wa makubaliano ya kukuza uhusiano baina ya Tanzania na China katika masuala ya Forodha.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live