Biashara

Habari

Burudani

Michezo

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

TRILIONI 2.6 zitajenga Reli ya umeme ‘Standard Gauge’ toka DSM mpaka Morogoro

2116 Mbarawa1 660x400

Mon, 29 Jan 2018 Chanzo: millardayo.com

Waziri Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa amefanya ziara katika maeneo ambayo ujenzi wa reli ya kisasa ya umeme ‘Standar Gauge’ kutoka DSM mpaka Morogoro unaendelea na kusema ujenzi huo utagharimu Tilioni 2.6 na unategemewa kukamilika June, 2020.

“Ujenzi wa reli ya kisasa toka DSM mpaka Morogoro yenye urefu wa KM 300, mradi huu unajegwa kwa Tsh. Tilioni 2.6 na unagharamiwa na Serikali kwa asilimia mia moja, mpaka sasa wamefikia asilimia 5.86 ya ujenzi na imechelewa sababu ya mvua,”-Prof. Mbarawa

Tumepanga June 2020, reli hii Watanzania waweze kuitumia, katika ujenzi huu wafanyakazi 1750 wamepata kazi, kazi inaendelea vizuri na sisi tupo hapa kusimamia,” -Prof. Mbarawa

Lukuvi baada ya kufika Ilemela na kuamua kukagua mafaili mwenyewe (video)

Chanzo: millardayo.com