Menu ›
Biashara
Tue, 26 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Reli nchini (TRC), Masanja Kadogosa amesema hadi sasa, shirika hilo limefanya uwekezaji wa Sh trilioni 23.3 katika ujenzi wa miundombinu ya reli nchini.
Ameeleza hayo leo jijini Dar es Salaam katika mkutano uliowakutanisha wahariri na waandishi wa habari kuelezea miaka mitatu ya mafanikio ya Serikali ya Awamu ya sita katika sekta ya reli.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live