Menu ›
Biashara
Tue, 21 Jun 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Basi la abiria la Friends linalofanya safari zake kutoka Uganda kwenda Mwanza limekamatwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Mkoani Geita kwa madai ya kubeba vipodozi ambavyo vimepigwa marufuku.
Basi la abiria la Friends linalofanya safari zake kutoka Uganda kwenda Mwanza limekamatwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Mkoani Geita kwa madai ya kubeba vipodozi ambavyo vimepigwa marufuku. TRA imebainisha kwamba asilimia 90 ya mizigo waliyobeba imelipiwa ushuru kidogo ukilinganisha na thamani ya mizigo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live