Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) imetia saini Kandarasi ya Mkataba wa Utekelezaji wa Mradi wa Mfumo wa Usimamizi wa Utoaji wa Taarifa za Anga na Kampuni ya Indra Avitech wenye thamani ya Sh. Bilioni 9. - Hafla hiyo imefanyika Septemba 22, 2023, Makao Makuu ya TCAA na imeongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa TCAA Hamza Johari pamoja na Simon Masike kwa upande wa kampuni ya Indra Avitech. - Mradi huo unatarajiwa kutekelezwa katika kipindi cha miezi 18.
Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) imetia saini Kandarasi ya Mkataba wa Utekelezaji wa Mradi wa Mfumo wa Usimamizi wa Utoaji wa Taarifa za Anga na Kampuni ya Indra Avitech wenye thamani ya Sh. Bilioni 9. - Hafla hiyo imefanyika Septemba 22, 2023, Makao Makuu ya TCAA na imeongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa TCAA Hamza Johari pamoja na Simon Masike kwa upande wa kampuni ya Indra Avitech. - Mradi huo unatarajiwa kutekelezwa katika kipindi cha miezi 18.