Menu ›
Biashara
Wed, 23 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Ndg. Abdulmajid Nsekela katika Ofisi ndogo za Bunge zilizopo Jijini Dar es Salaam.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Ndg. Abdulmajid Nsekela katika Ofisi ndogo za Bunge zilizopo Jijini Dar es Salaam.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live