Biashara

Habari

Burudani

Michezo

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Serikali kushusha bei ya gesi

Gesi Urahis Serikali Serikali kushusha bei ya gesi

Thu, 16 Mar 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Serikali imesema iwapo mipango ya kuongeza uzalishaji umeme utakwenda kama inavyokusudiwa itasaidia kupunguza gharama za matumizi ya gesi kwa wananchi wa kipato cha kati na chini.

Hayo yameelezwa jana Junatano Machi 15 na Naibu Waziri wa Uwekezaji, Biashara na Viwanda, Exaud Kigahe kwa niaba ya Waziri wa wizara hiyo, Dk Ashatu Kijaji wakati wa kongamano la maadhimisho ya kitaifa ya siku ya haki za mtumiaji duniani yaliyofanyika jijini hapa.

Kigahe amesema Serikali kama chombo chenye wajibu wa kutekeleza miradi ya nishati safi ya gesi ni kuhakikisha huduma hiyo inapatikana kwa wananchi wote na kwa gharama nafuu ili kukuza kipato.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live