Menu ›
Biashara
Fri, 21 Jan 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Serikali imesema kuwa inaandaa mfumo mzuri wa kutoa ruzuku ya pembejeo aina ya mbolea utakaowezesha kupunguza bei ili kuwafikia wakulima moja kwa moja tofauti na mfumo uliowahi kuwepo hapo nyuma.
Serikali imesema kuwa inaandaa mfumo mzuri wa kutoa ruzuku ya pembejeo aina ya mbolea utakaowezesha kupunguza bei ili kuwafikia wakulima moja kwa moja tofauti na mfumo uliowahi kuwepo hapo nyuma.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live