Menu ›
Biashara
Sat, 23 Apr 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais Samia Suluhu Hassan ameshuhudia utiaji saini wa makubaliano ya miradi ya kibiashara ambayo itatekelezwa nchini Tanzania na wawekezaji kutoka Marekani.
Zoezi hilo limefanyika leo Aprili 23, 2022 katika Mkutano wa Wafanyabiashara wa Marekani uliofanyika katika Makao Makuu ya Ofisi za Chemba ya Biashara ya Marekani jijini Washington nchini Marekani.
Aidha Uwekezaji huo una thamani ya $5.04 bilioni (TZS trilioni 11.7) na utazalisha ajira 301,110 kwenye kilimo, utalii, biashara.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live