Menu ›
Biashara
Wed, 6 Apr 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mfanyabiashara wa Tanzania Rostam Aziz na Muungano wa Kampuni ya Axian Group Ltd ya Madagascar wamekamilisha ununuzi wa Tigo Tanzania na Zantel.
Mfanyabiashara wa Tanzania Rostam Aziz na Muungano wa Kampuni ya Axian Group Ltd ya Madagascar wamekamilisha ununuzi wa Tigo Tanzania na Zantel. Rostam sasa anakuwa Mwenyekiti wa Kampuni mama ya Tigo, MIC Tanzania.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live