Menu ›
Biashara
Sat, 26 Feb 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuzindua siku maalumu ya Tanzania katika maonesho ya kimataifa yanayoendelea ya Expo 2020 Dubai na kuwakaribisha wawekezaji na watalii kutembelea Tanzania ameanza kupita katika mabanda kadhaa kujionea kinachoendelea.
Baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuzindua siku maalumu ya Tanzania katika maonesho ya kimataifa yanayoendelea ya Expo 2020 Dubai na kuwakaribisha wawekezaji na watalii kutembelea Tanzania ameanza kupita katika mabanda kadhaa kujionea kinachoendelea.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live