Menu ›
Biashara
Tue, 3 Aug 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais Samia Suluhu Hassan ametembelea kiwanda cha kisasa cha magari aina ya Volkswagen nchini Rwanda, chenye uwezo wa kutengeneza magar yenye miundo 6 tofauti.
Rais Samia Suluhu Hassan ametembelea kiwanda cha kisasa cha magari aina ya Volkswagen nchini Rwanda, chenye uwezo wa kutengeneza magar yenye miundo 6 tofauti. Mapema jana rais Samia aliwasili nchini humo kwa ziara yake ya kikazi, ambapo leo anatarajiwa kurudini nchini.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live