Mkutano wa 110 wa Kimataifa wa Shirika la Kazi duniani unaendelea katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa - Geneva. Majadiliano katika Mkutano siku ya leo yanahusu jinsi gani nchi zinapambana na changamoto za kiuchumi.
Mkutano wa 110 wa Kimataifa wa Shirika la Kazi duniani unaendelea katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa - Geneva. Majadiliano katika Mkutano siku ya leo yanahusu jinsi gani nchi zinapambana na changamoto za kiuchumi. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewakilishwa na Prof. Joyce Ndalichako, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu( KVAU) na Balozi Wa Tanzania nchini Uswisi Balozi Maimuma Tarishi, pamoja nao wameambatana na Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi( TUCTA ) Tumaini Nyamhokia na Mkurugenzi Mtendaji wa Chama Cha Waajiri Tanzania, Suzanne Ndomba