Menu ›
Biashara
Tue, 3 Aug 2021
Chanzo: www.habarileo.co.tz
Naibu waziri wa Kilimo Hussein Bashe amsema kuanzia msimu huu Mazao ya Parachichi yanayozalishwa hapa nchini yataanza kuuzwa katika soko la Afrika Kusini.
Naibu waziri wa Kilimo Hussein Bashe amsema kuanzia msimu huu Mazao ya Parachichi yanayozalishwa hapa nchini yataanza kuuzwa katika soko la Afrika Kusini. Bashe amesema, taratibu zinaendelea vizuri na kwamba msimu huu, mazao hayo yataanza kuuzwa nchini humo licha kwamba hapo awali yalizuiliwa kuuzwa katika soko hilo
Chanzo: www.habarileo.co.tz