Menu ›
Biashara
Wed, 27 Jan 2021
Chanzo: habarileo.co.tz
WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Geoffrey Mwambe amesema ukosefu wa mafuta ya kula nchini umesababishwa na upungufu katika uzalishaji mbegu za mafuta ya kula hivyo kulazimika kutegemea mafuta kutoka nje ya nchi.
WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Geoffrey Mwambe amesema ukosefu wa mafuta ya kula nchini umesababishwa na upungufu katika uzalishaji mbegu za mafuta ya kula hivyo kulazimika kutegemea mafuta kutoka nje ya nchi. “Ni vema pia ieleweke bei ya mafuta ya kula yanayoingizwa nchini kutoka nje, inategemea soko la dunia na garama zingine ikiwemo usafirishaji,” amesema Mwambe
Chanzo: habarileo.co.tz