Menu ›
Biashara
Wed, 10 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mfumuko wa bei nchini umezidi kushuka, ripoti iliyotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) zinaonyesha Aprili ulikuwa asilimia 4.3 ikilinganishwa na Machi mwaka huu uliokuwa 4.7.
Hata hivyo, mwenendo huu unamaanisha kasi ya kubadilika kwa bei za bidhaa Aprili kulipungua ikilinganishwa na Machi ambapo kasi ya kubadilika kwa bei hizo ilikuwa juu.
Je, hali ya bei ya bidhaa ipoje eneo unaloishi?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live