Menu ›
Biashara
Tue, 18 Jan 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo mkoani Dar es Salaam imetangaza viwango vya kibuli cha usafi wa maingira kwa magari yote yenye uzito kuanzia tani 0.5 yanayoingia kwenye manispaa hiyo kupakia au kushusha mizigo.
Viwango vya malipo hayo ni kulingana na ukubwa wa gari ambapo vinaanzia Shilingi 3,000 hadi 50,000.
Aidha taarifa hiyo imeeleza adhabu ya kutolipa ada hiyo kuwa ni kati ya hilingi 300,000 hadi 1,000,000 au kifungo cha miezi sita au vyote kwa pamoja.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live