Menu ›
Biashara
Mon, 26 Feb 2018
Chanzo: millardayo.com
Leo February 16, 2018 Kampuni ya Magari yaendayo haraka (UDART) imepokea mabasi mapya 70 yenye uwezo wa kubeba abiria zaidi ya 100 tofauti na magari ya awali yaliyoletwa katika awamu ya kwanza ambayo yana uwezo wa kubeba abiria wasiozidi mia.
Mkurugenzi mtendaji wa Kampuni ya magari yaendayo haraka UDART Charles Nawe amesema mabasi hayo yataendelea na safari za barabara zilizopo hadi pale watakapoanzisha nyingine.
Polisi DSM, kuhusu Kiongozi wa CHADEMA aliyenyongwa
Chanzo: millardayo.com