Menu ›
Biashara
Wed, 2 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
WAFANYABIASHAR ndogo ndogo maarufu kama Wamachinga, wanaopanga bidhaa zao maeneo yasiyoruhusiwa, ikiwemo pembezoni mwa barabara katika maeneo mbalimbali ya mitaa ya Kariakoo, Dar es Salaam wameondolewa leo, ikiwa ni kampeni ya kusafisha jiji hilo.
WAFANYABIASHAR ndogo ndogo maarufu kama Wamachinga, wanaopanga bidhaa zao maeneo yasiyoruhusiwa, ikiwemo pembezoni mwa barabara katika maeneo mbalimbali ya mitaa ya Kariakoo, Dar es Salaam wameondolewa leo, ikiwa ni kampeni ya kusafisha jiji hilo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live