Menu ›
Biashara
Fri, 8 Jul 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Hisa za Twitter zimeshuka baada ya ripoti ya Washington Post kuhusu deal ya Elon Musk ya dola bilioni 44 kuinunua kampuni hiyo kuwa hatarini kuvunjika.
Hisa za Twitter zimeshuka baada ya ripoti ya Washington Post kuhusu deal ya Elon Musk ya dola bilioni 44 kuinunua kampuni hiyo kuwa hatarini kuvunjika. Tajiri huyo mkubwa zaidi duniani amewahi kueleza mashaka yake na hata kudokeza kuwa anaweza kuachana na mpango huo kutokana na Twitter kushindwa kuonesha idadi ya watumiaji "FEKI" wa mtandao huo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live