Menu ›
Biashara
Mon, 1 Aug 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Jiji la Kigali limesema linahitaji angalau mabasi 500 ya abiria kukabiliana na changamoto ya usafiri inayowalazimu abiria kusubiri basi kituoni kwa hadi saa moja.
Jiji la Kigali limesema linahitaji angalau mabasi 500 ya abiria kukabiliana na changamoto ya usafiri inayowalazimu abiria kusubiri basi kituoni kwa hadi saa moja. Aidha, kunaangaliwa uwezekano wa kufunga mfumo utakaotoa taarifa za hali ya abiria ili basi likawachukue kwa wakati.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live