Biashara

Habari

Burudani

Michezo

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Azam Marine, Kilimanjaro zasitisha safari za boti Dar- Zanzibar

23595 BOT+PIC TanzaniaWeb

Wed, 24 Oct 2018 Chanzo: mwananchi.co.tz

Dar es Salaam. Kampuni ya Azam Marine na Kilimanjaro Fast Ferries zimesitisha safari za boti zake kutoka Dar es Salaam kuelekea Zanzibar kutokana na hali ya upepo baharini.

Kampuni hizo zimefikia uamuzi huo baada ya Mamlaka ya Usafiri Baharini (ZMA) pamoja na Mamlaka ya Udhibiti wa Hali ya Hewa (Zanzibar) kutoa taarifa zikieleza kuwa hali ya hewa si salama.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na kampuni hiyo safari hizo zimesitishwa leo Jumanne Oktoba 23, 2018.

Endelea kufuatilia MCL Digital kwa taarifa zaidi

Chanzo: mwananchi.co.tz