Biashara

Habari

Burudani

Michezo

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

ATCL yasitisha safari za India

Atcl Pic Data 660x400.jpeg ATCL yasitisha safari za India

Wed, 5 May 2021 Chanzo: millardayo.com

Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limetangaza kusitisha safari zake kwenda nchini India ambako vifo na maambukizo ya corona yanazidi kuongezeka.

Taarifa iliyotolewa na mkurugenzi mtendaji na ofisa mtendaji mkuu wa shirika hilo, Ladislaus Matindi inasema safari hizo zimesitishwa kuanzia leo, Mei 4.

“ATCL itaondoa faini zote kutokana namabadiliko haya, itatoa tiketi nyingine au kuwarudishia nauli zao abiria waliokuwa wamekata tiketi,” Matindi.

“BILL GATES NA HELA ZAKE ZOTE KAACHWA, MTAACHANA TU, OBAMA NA MKEWE” WATU WA TWITTER

Chanzo: millardayo.com