Wed, 27 Jun 2018
Chanzo: bongo5.com
/>
Bondia wa Uingereza, Anthony Joshua
Wakati bingwa wa WBC, Wilder anatafakari namna ya kurejesha mkataba wa maridhiano ya kupambana na Joshua Chama cha mchezo wa ngumi duniani (WBA) imevunja mazungumzo hayo na kuamuru Muingereza huyo kupambana na Povetkin kwanza.
Bondia Povetkin
Rais wa WBA, Gilberto Mendoza amempatia Joshua mwezi mmoja wa ziada wa mazungumzo na Wilder lakini kwanza kupambana na Povetkin ili kuulinda mkanda wake kwa kuwa timu ya Wilder imechelewa lirejesha mkataba huo mpaka sasa na hivyo kuofia muda wa kutetea taji lake kupita.
Loading...
Chanzo: bongo5.com