Fri, 30 Jun 2023
Chanzo: Tanzaniawwb
Mtanzania, Mfaume Mfaume ameshinda kwa pointi dhidi ya Mmalawi, Chikondi Makawa katika pambano la ndondi usiku huu.
Mtanzania, Mfaume Mfaume ameshinda kwa pointi dhidi ya Mmalawi, Chikondi Makawa katika pambano la ndondi usiku huu. Mchezo huo umepigwa katika Ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam huku Mfaume akitawala pambano hilo kutokana na mpinzani wake kutumia muda mwingi akijilinda.
Chanzo: Tanzaniawwb