Thu, 26 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya Bondia Mtanzania Hassan Mwakinyo kufungiwa kutopigana kwa kipindi cha na Chama cha mchezo wa ngumi na kupigwa Faini ya Tsh Milioni 1000000.
Kuna taarifa zinazosema kuwa kuna baadhi ya taratibu muhimu zimekiukwa wakati wa kumpa adhabu Bondia Mwakinyo.
Sikiliza mazungumzo juu ya sakata hili katika Video hapa chini.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live