Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

UFC waitaka saini ya Michael Page

Skysports Michael Page Mma 5028259 Michael Page 'Venom'

Sun, 22 Oct 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Inadaiwa kuwa ‘kampuni’ya inayo husika na maswala ya ngumi, UFC ikotayari kupata ‘saini’ ya mwanamichezo wa boxer kutoka nchini Uingereza, Michael Page 'Venom' baada ya mkataba wake na Bellator kuisha.

Kwa mujibu wa Daily Mail News inaeleza kuwa Rais wa kampuni hiyo Dana White amekuwa akitafuta ‘saini’ ya mchezaji huyo na kusema kuwa kampuni hiyo inania ya kumpa mkataba mchezaji huyo.

Michael mwenye umri wamiaka 36 amewahi kupata record ya ushindi katika mapigano 12 akiwa Bellator.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live