Sun, 24 Apr 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bondia Mwingereza Tyson Fury amemkung'uta kwa KO Mwingereza mwenzie Dillian Whyte kwenye raundi ya 6 ya pambano la uzito wa juu lililochezwa kwenye uwanja wa Wembley na kufanikiwa kubakisha mkanda WBC.
Bondia Mwingereza Tyson Fury amemkung'uta kwa KO Mwingereza mwenzie Dillian Whyte kwenye raundi ya 6 ya pambano la uzito wa juu lililochezwa kwenye uwanja wa Wembley na kufanikiwa kubakisha mkanda WBC. Furry kwa sasa atakuwa amepigana mapambano 33 akishinda 32 akitoa droo 1 na ameshinda kwa KO mara 23.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live