Sat, 29 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bondia kutokea Mkoani Morogoro, Twaha Kiduku ameongeza mkataba wake wa ubalozi wa makampuni ya Bakhresa Group.
Bondia kutokea Mkoani Morogoro, Twaha Kiduku ameongeza mkataba wake wa ubalozi wa makampuni ya Bakhresa Group. Tunamtakia Kila la Kheri katika kutekeleza majukumu yake.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live