Sat, 24 Sep 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bondia Mtanzania Twaha Kiduku ameshinda ubingwa wa UBO Intercontinental baada ya kumtwanga mpinzani wake Abdo Khaled, raia wa Misri, katika pambano la raundi 10 lililofanyika mkoani Mtwara.
Bondia Mtanzania Twaha Kiduku ameshinda ubingwa wa UBO Intercontinental baada ya kumtwanga mpinzani wake Abdo Khaled, raia wa Misri, katika pambano la raundi 10 lililofanyika mkoani Mtwara. Twaha ameshinda pambano hilo kwa pointi baada ya majaji wote watatu kumpa alama zaidi ya mpinzani wake.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live