Bondia Mtanzania Twaha Kiduku amepoteza pambano la Ubingwa wa WBF Intercontinental (Ubingwa wa Mabara) dhidi ya Bondia wa Afrika Kusini Asemahle Wellem kwa point katika pambano la round 12 lililochezwa jijini Mwanza.
Bondia Mtanzania Twaha Kiduku amepoteza pambano la Ubingwa wa WBF Intercontinental (Ubingwa wa Mabara) dhidi ya Bondia wa Afrika Kusini Asemahle Wellem kwa point katika pambano la round 12 lililochezwa jijini Mwanza. Pambano hilo la uzito wa super middleweight limemfanya Bondia Asemahle kucheza pambano lake la 7 bila kupoteza wakati Twaha Kiduku mara ya mwisho kupoteza pambano lolote ilikuwa tarehe 20/05/2021 dhidi ya Bek Nurmaganbet Raia wa Kazakhstan.