Bondia Twaha Kiduku ameeleza namna alivyojiandaa na Pambano la kuwania ubingwa wa WBF International Super Middleweight kati yake na Bondia Asemahle Wellem kutoka Afrika Kusini ???????? litakalopigwa jijini Mwanza Julai 29, 2023 huku akiwaomba Wananchi wa Mwanza Kujitokeza kwa wingi Kumpa Support katika Pambano hilo.
Bondia Twaha Kiduku ameeleza namna alivyojiandaa na Pambano la kuwania ubingwa wa WBF International Super Middleweight kati yake na Bondia Asemahle Wellem kutoka Afrika Kusini ???????? litakalopigwa jijini Mwanza Julai 29, 2023 huku akiwaomba Wananchi wa Mwanza Kujitokeza kwa wingi Kumpa Support katika Pambano hilo. Kiduku ameeleza hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari baada ya Kupima Uzito ambapo pia ameeleza umuhimu wa aina ya Mazoezi ambayo amekuwa akiyafanya ikiwemo Kuvuta na Kusukuma Gari.