Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Stumai Muki amchakaza Chimwemwe Banda

Chunwenwe Stumaifb243b6 Stumai Muki amchakaza Chimwemwe Banda

Thu, 23 Mar 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Bondia Mtanzania Stumai Muki amefanikiwa kushinda dhidi ya Chimwemwe Banda raia wa #Malawi kwa pointi katika pambano la Raundi 8 uzito wa kati Super Fly jijini Dar es Salaam.

Mara baada ya pambano hilo Stumai amesema ametimiza kile alichokiahidi kwa Watanzania wakati upande wa Chimwemwe amedai kuwa kupoteza pambano haina maana mpinzani alikuwa bora zaidi yake bali imetokea tu.

Katika pambano lingine Mtanzania, Grace Mwakamele amemshinda Luckia Ali kutoka Malawi kwenye pambano la saba usiku huu.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live