Thu, 2 Sep 2021
Chanzo: millardayo.com
Bondia Mtanzania Hassan Mwakinyo leo Septemba 2, 2021 amepima uzito akiwa na mpinzani wake Julius Indongo kutokea Namibia ambapo wawili hao wanatarajia kuonesha tambo zao September 3 2021 katika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam
Na imeelezwa kwamba litakuwa pambano la round 12 la uzito wa 69 Kg.
.
.
.
.
.
.
Chanzo: millardayo.com