Mon, 14 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
KWENYE orodha ya mabondia 10 bora wa bara la afrika, kutoka madaraja yote ya uzito (P4P), taifa la Afrika Kusini limeongoza kwa kutoa mabondia 6.
Wengine ni kutoka taifa la DR Congo, Namibia na Ghana, Huku mabondia wa Tanzania wakiwa hawapo hata 20 bora.
Orodha hiyo ni kama ifuatavyo:-
1.Ilunga Makabu
2.Thabiso Mchunu
3.Jeremia Nakathila
4.Martin Bakole
5.Richard Commey
6.Thulani Mbenge
7.Azinga Fuzile
8.Jackson Chauke
9.Kevin Lerena
10.Zolani Tete
....
23.Tony Rashid
24.Hassan Mwakinyo
37.Ibrahim Class
85.Juma Choki
86.Twaha Kiduku
208. Mfaume Mfaume
Chanzo: www.tanzaniaweb.live