Mon, 24 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bondia Hassan Mwakinyo ameshinda pambano lisilo na ubingwa dhidi ya Kuvesa Katembo kutoka Afrika Kusini.
Bondia Hassan Mwakinyo ameshinda pambano lisilo na ubingwa dhidi ya Kuvesa Katembo kutoka Afrika Kusini. Pambano hilo lililochezwa katika uwanja wa Jamhuri, Dodoma lilikuwa na mizunguko (round) nane ambapo ameshinda kwa pointi
Chanzo: www.tanzaniaweb.live