Fri, 1 Apr 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya maneno kuwa mengi yakimtaka Bondia anaefanya vizuri ulingoni Hassan Mwakinyo kupigana na Twaha Kiduku hasa baada ya Twaha kufanya vizuri siku za karibuni kwa kushinda mapambano yake.
Bondia Hassan Mwakinyo ameibuka na kutoa maneno ambayo yanaonekana kama kijembe kwa Twaha ambae anataka kupambana na Mwakinyo kwa kila hali.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Mwakinyo ameandika ujumbe ambao unasemekana kumlenga Twaha Kiduku.
Tazama hapa chini Tweet ya Bondia Mwakinyo,
Chanzo: www.tanzaniaweb.live