Fri, 29 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya jana Septemba 28 kutoa kauli inayoashiria hatopanda kupigana Ijumaa ya Septemba 29.
Hii leo Bondia Hassan Mwakinyo ametoa kauli inayoendelea kuacha maswali mengi ambapo ameandika;
"Maswali na simu zimekua nyingi, kiukweli mpaka sasa nina asilimia 5% tu za kupanda ulingoni ikiwa zitaongezeka ni mimi wenyewe nitasema naomba tuwe wavumlivu epuka matapeli...msimamo ni mmoja tu kama mogadishu. kwa kitendo hichi naomba!! huu ndio we mwisho wa mapromoter dhulma wahuni wadanganvifu na matapeli...!
Je, Mwakinyo atapanda au hapandi? Toa ubashiri wako
Chanzo: www.tanzaniaweb.live