Thu, 2 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bondia namba moja kwenye uzito wa juu Tanzania, Awadh Mohamed Tamim atapanda ulingoni tarehe 4 Machi 2023 kuzichapa na Bondia Msweden, Pezhman Seifkhani kugombea ubingwa wa Swedish Champion Heavyweight Title katika pambano litakalopigwa Mjini Orebro.
Tamim Awadh anawaomba Watanzania kumuombea dua na kumuunga mkono katika pambano hilo.
Endelea kuwa karibu na Tanzaniaweb tutakupa koila kinachojiri katika Pambano hilo la uzito wa juu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live