Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Mbabe wa Novak Djokovic atembeza kipigo kingine, atinga nusu fainali kwa kishindo

1859 Djok 1.png TZW

Thu, 25 Jan 2018 Chanzo: bongo5.com

Mcheza tenesi kutoka Korea Kusini Chung Hyeon amefanikiwa kutinga nusu fainali ya michuano ya Australian Open 2018.



Chung ametinga kwenye hatua hiyo baada ya kumtupa nje ya mashindano hayo Tennys Sandgren kwa seti 6-4 7-6 (7-5) 6-3.

Awali mchezaji huyu anayeshika nafasi ya 58 katika viwango vya ubora wa mchezo huo duniani hakupewa nafasi hata kidogo kufikia katika hatua hiyo huku akimtupa nje ya michuano hiyo kigogo Novak Djokovic Jumatatu hii kwa seti 7-6, 7-5, 7-6.

Chung Hyeon amekuwa mchezaji wa kwanza kutoka Korea Kusini kufika katika hatua kama hiyo ya michuano hiyo.

Chanzo: bongo5.com