Fri, 25 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bondia Karim Mandonga ameshinda pambano dhidi ya Said Mbelwa kwa TKO katika Raundi ya 6 kwenye pambano lisilo la ubingwa uzito wa Kati Middle Weight, leo Novemba 25, 2022.
Bondia Karim Mandonga ameshinda pambano dhidi ya Said Mbelwa kwa TKO katika Raundi ya 6 kwenye pambano lisilo la ubingwa uzito wa Kati Middle Weight, leo Novemba 25, 2022. Akizungumza baada ya pambano hilo lililofanyika Mkoani Morogoro, Mandonga amesema “Sikubahatisha, nimempiga ulingoni na kama hakubali hata nikikutana mtaani nitampiga tena, Ndoige ni ngumi inayokata kona.”
Chanzo: www.tanzaniaweb.live