Sun, 30 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya Jana Julai 29, Bondia kutoka Morogoro Karim Mandonga kupoteza pambano mbele ya Bondia kutoka nchini Uganda Moses Golola kwa TKO mchezo uliopigwa Jijini Mwanza.
Bondia huyo amekuja na majibu ya sababu za kupoteza usiku wa jana akiwa nyumbani Tanzania.
Mandonga anasema Mapromota wamemletea mtu ambae hamuelewi na ana mashaka ana chembechembe za ushirikina ndani yake.
Msikilize Mandonga akizungumza kwenye Video hapa chini kisha mpe neno moja kama shabiki wa ndondi
Chanzo: www.tanzaniaweb.live