Sun, 27 Mar 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bondia wa Tanzania, Twaha Kassim Lubaha (maarufu kama Twaha Kiduku) ameshinda pambano lake dhidi ya Bondia kutoka DR-Congo, Alex Kabangu
Kutokana na Ushindi huo, Twaha amejitwalia mkanda wa UBO Super Middle Weight ambao ulikuwa wazi.
Pambano hilo la raundi nane, lilifanyika Morogoro usiku huu wa kuamkia Machi 27, 2022.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live