Sat, 29 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bondia Mtanzania Karim Mandonga amepigwa na Bondia wa Uganda Moses Golola kwa TKO (Technical Knock Out) round ya tatu katika pambano lililochezwa jijini Mwanza.
Bondia Mtanzania Karim Mandonga amepigwa na Bondia wa Uganda Moses Golola kwa TKO (Technical Knock Out) round ya tatu katika pambano lililochezwa jijini Mwanza. Ndani ya siku 8 Mandonga amepigana mapambano mawili na yote amepigwa ambapo July 22 2023 alipigwa na Bondia Daniel Wanyoni wa Kenya.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live