Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Kabla ya pambano dhidi ya Anthony Joshua bondia Joseph Parker amtafuna samaki mbichi

1421 HAHAHAHA.png TZW

Wed, 17 Jan 2018 Chanzo: bongo5.com

Bondia wa uzito wa juu nchini New Zealand, Joseph Parker ameonekana akimtafuna samaki mbichi kwa jaziba kitendo kilichotafsiriwa kuwa yupotayari kupigana na Anthony Joshua katika mpambano wao wa ubingwa wadunia wa WBA, IBF, WBO na IBO utakaofanyika Machi 31 ya mwaka huu.



Parker mwenye umri wa miaka 26 ambaye anarekodi ya kutokupigwa hata pambano moja kati ya 24 aliyoshuka ulingoni amenuwia kuvunja rekodi ya Joshua siku hiyo.

“Nimeamua kumtafuna samaki huyu mbichi maeneo ya kchwani na kumuua, bingwa wa dunia wa WBO lazima ukumbuke hili,”amesema Parker ikionekana kama mkwara kwa bondia mwenzake Anthony Joshua ambaye anatarajia kukutana nae katika ulingo mwezi Machi.

Chanzo: bongo5.com